Radio MTV News
Julai 26, 2024
07:00 Jioni
Serikali ya Congo DRC yawafikisha mahakamani washukiwa na washiriki wa uasi wa AFC yake Corneille Nanga kwa tuhuma za kuuanda uasi na ugaidi . haya na maengine mengi ungana na MtV News DRC online
Julai 25, 2024
07:00 Jioni
Idadi ya watu walio uwawa na watu wanao dhaniwa kuwa ADF huko wilayani Beni ya zidi kuongezeka hadi zaidi ya hamsini yakisema mashirika ya kiraia pa Mangurudjipa
Julai 24, 2024
07:00 Jioni
Watu zaidi ya thelathini wauwawa na watu wanao dhaniwa kuwa ADF Mangurudjipa wilayani Lubero Kivu Kaskazini mashariki mwa Congo
Julai 23, 2024
07:00 Jioni
Habari 23, Julai 2024
Julai 22, 2024
07:00 Jioni
Tishio la wanahabari mashariki mwa Congo kupatwa na Tromatism ya kisekolojia kutokana na Vita
Julai 19, 2024
07:00 Jioni
Wananchi wa Congo wahutumu marekani kuwa nyuma ya waasi wa M23 na serikali ya Rwanda kuyumbisha usalama mashariki mwa Congo.
Julai 18, 2024
07:00 Jioni
Watu zaidi ya kumi wawuwa na watu wanao dhaniwa kutoka kundi la ADF wilayani Beni Kivu Kaskazini mashariki mwa Congo DRC
Julai 16, 2024
07:00 Jioni
Mapigano makali ya ripotiwa kwenye milima ya bweremana wilayani Masisi kati ya jeshi la serikali ya Congo FARDC na waasi wa M23 ,hayo na mengine mengine katika taarifa zetu za MTV ONLINE3
Julai 15, 2024
07:00 Jioni
Wakaazi wa Mji wa Butembo Kivu kaskazini mashariki mwa Congo waandamana kupinga uasi wa M23
Julai 12, 2024
07:00 Jioni
Rais wa kenya William Ruto amevunja baraza lake la mawaziri pamoja na kumuondosha madarakani mwanasheria mkuu. Agizo hilo limetolewa leo, na limeanza kutekelezwa mara moja
Julai 11, 2024
07:00 Jioni
Hali ya kiutu yaendelea Ku zorota Alimbongo vutsorovya na maeneo mengine wakaazi walalamikia hali mbaya ya Ki maisha hawa waomba msaada kwa mashirika ya kiutu Ku waletea musaada
Julai 10, 2024
07:00 Jioni
Hali ya kiutu yaendelea Ku zorota Alimbongo vutsorovya na maeneo mengine wakaazi walalamikia hali mbaya ya Ki maisha hawa waomba msaada kwa mashirika ya kiutu Ku waletea musaada
Julai 09, 2024
07:00 Jioni
Wanajeshi zaidi ya 20 wahukumiwa vifungo mbali mbali kwa tuhuma ya ku kimbia vita
Julai 08, 2024
07:00 Jioni
Waziri Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kufikisha huduma za jamii ikiwemo Afya, maji, Umeme na Elimu katika maeneo yote nchini
Julai 05, 2024
07:00 Jioni
Shughuli Za Kawaida Zimerejea Jijini Nairobi Baada Ya Wiki Tatu Za Maandamano Ya Kila Jumanne Na Alhamisi. Hii Leo Rais William Ruto, Amefanya Kikao Na Mawaziri Kuzungumzia Hali Ya Taifa
Julai 04, 2024
07:00 Jioni
Askari Jeshi Wa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo 25 wa humukuliwa Na mahakama ya kijeshi tawi ya mji Wa butembo jioni ya jumatano julay 3,2024 Katika Kijiji cha ALIMBONGO Kivu kaskazini baada yaku kutwa Na hatia
Julai 03, 2024
07:00 Jioni
Mapigano makali yaendelea kati ya waasi wa M23 na jeshi la serikali ya Congo FARDC wilayani Lubero na kusababisha wakaazi kuhama vijiji vyao wengi wakilala porini
Julai 02, 2024
07:00 Jioni
Matangazo ya juma nne kutoka MTV News DRC. Hali ya wasiwasi ya zidi kuendelea kufatia mapigano makali kati ya M23 na jeshi la serikali wilayani Lubero kaskazini mashariki mwa Congo DRC
Julai 01, 2024
07:00 Jioni
Hali ya wasiwasi yaendelea Ku ripotiwa wilaya ya LUBERO KIVU KASKAZINI mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kufatiya mapigano inayo endelea kati Waasi Wa M23 Na Jeshi la Congo FARDC kaskazini
Juni 28, 2024
07:00 Jioni
Wasiwasi Wilayani Lubero Baada Ya Waasi Wa M23 Kuendelea Na Mapigano Yao Dhidi Ya Serikali Ya Congo Nakuteka Vijiji Kadhaa, Wakaazi Wakilazimika Kukimbia Vijiji Vyao Kuhufia Maisha
Juni 27, 2024
07:00 Jioni
Waziri mkuu Wa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Mhe. JUDITH SUMINWA amepongeza Jeshi la FARDC Na vijana wazalendo Katika harakati zaku kabiliana Na uvamizi Wa serekali ya RWANDA kupitia Waasi Wa M23
Juni 26, 2024
07:00 Jioni
Waizir mkuu wa Congo Judith Suminwa amewsili Mjini Goma Kutoka Mji wa Bukavu Kivu kusini ambako amehuzuria sherehe za kufunga kwa vituo na ofisi za umoja wa Mataifa MONUSCO
Juni 25, 2024
07:00 Jioni
Shirika la Viwango Tanzania TBS limeteketeza bidhaa mbali mbali zenye uzito wa tani 3.6 zikiwa na thamani ya Shilingi milioni 34 zikiwemo vyakula, vipodozi vyenye viambata vya sumu, nguo za ndani za mitumba na vilainishi vya magari mkoani Kigoma na kutokana na kutokidhi viwango vya ubora na kuingia nchini kinyume cha sheria.
Juni 24, 2024
07:00 Jioni
Mitihani ya siku nne ya kiserikali kwa watoto wa somo la sita yaanza kote DRC pamoja na Kivu Kaskazini
Juni 21, 2024
07:00 Jioni
Watu zaidi ya nne wamejeruhiwa bomu leo ijuma tarehe ishirini na moja juni katika mji wa Knayabayonga kakati wa mapigano kati ya M23 na jeshi la serikali pembezoni mwa Mji wa Kanyabayo
Juni 20, 2024
07:00 Jioni
Wakimbizi walio kimbia makaazi yao wanao patikana katika kambi mbali mbali katika mji wa Goma waitaji ku rudi katika makaazi yao.wamesema hii siku kuu ya wakimbizi duniani
Juni 19, 2024
07:00 Jioni
Mapigano makali yameripotika kati ya jeshi la serikali ya Congo FARDC wakishirikiana na vijana wazalendo dhidi ya M23 pembezoni mwa Mji wa Kanyabayo ,kanyabayonga ikiwa na sehemu moja wilayani Ruthsuru na sehemu nyingine wilaya ya Lubero
Juni 14, 2024
07:00 Jioni
Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma limethibitisha kutokea kwa vurugu baina ya askari polisi na wafugaji huko katika kijiji cha mganza, wilaya ya Uvinza mkoani kigoma ambapo mtu mmoja aitwaye Emanuel John alijeruhiwa kwa risasi mguu wa kushoto.
Juni 13, 2024
07:00 Jioni
Watu zaidi ya thalathini wauwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni ADF katika secta ya Bapere wilayani Lubero
Juni 12, 2024
07:00 Jioni
Baadhi ya wanaichi mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo waomba serikali mupya yake waziri mukuu Judith Suminwa Tuluka Ku tazamia sana mambo ya usalama hasa kivu Kaskazini
Juni 11, 2024
07:00 Jioni
Mapigano makali imeripotika kwenye vijiji vya Rwamabuye wialayani Uvika kivu kusini kati ya makundi mawili yenye silaha kinyume na sheria ya nchi
Juni 10, 2024
07:00 Jioni
Idadi Ya Watu Wanao Endelea Kuwawa Na Wapiganaji Wanao Dhaniwa Kutoka Kundi La Adf Wilayani Beni Yadhidi Kuonegezeaka Kila Siku ,Wakaazi Wakisema Kwa Sasa Ni Watu Zaidi Ya Msamanini (80) Ambao Mili Yao Imeshapatikana Na Wengine Bado Ikiwa Haijulikane Wapi Walipo Baada Ya Kutekwa Na Wapiganaji Wanao Dhaniwa Kuwa Adf
Juni 07, 2024
07:00 Jioni
Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Burundi wameamua kwa pamoja kufanya zoezi muhimu kwa ajili ya kuwarejesha wakimbizi kabla ya 31 Disemba mwaka huu kwani hali ya usalama nchini Burundi kwa sasa ipo shwari
Juni 05, 2024
07:00 Jioni
Watu Zaidi Ya Kumi Na Tano Wauwa Na Watu Wanao Dhaniwa Kuwa Ni Adf Katika Kijiji Cha Masau Wilayani Beni Hii Imepelekea Wakaazi Ku Kimbia Makaazi Yao Waki Hofia Maisha Yao
Juni 03, 2024
07:00 Jioni
Mtihani wa Kitaifa wa Kumaliza Shule ya Msingi (ENAFEP) umeanza Jumatatu hii, Juni 3, 2024 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Katika jimbo la Kivu Kaskazini, licha ya hali ya usalama inayotia wasiwasi, wanafunzi walihudhuria mwisho wa mkutano wa shule ya msingi
Mei 31, 2024
07:00 Jioni
Hofu Ya Dhidi Kuendelea Katika Mji Mdogo Wa Kanyabayonga Wilayani Lubero Kivu Kaskazini
Mei 30, 2024
07:00 Jioni
Mapambano makali kati ya muungano wa Fardc wazalendo na waasi wa M23 ya ripotiwa tangu asubui mapema ya hii alhamisi 30 mei mwaka wa 2024 huko kwenye milima ya kimoka Sake wilayani Masisi na jeshi la SADC Ku chambiliwa na M23.
Mei 29, 2024
07:00 Jioni
Raia Wa Kivu kaskazini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo waomba kwa serekali Mpya ilio tangazwa kupea kipao mbele hali chafu ya ukosefu Wa usalama nchini ili Raia Wa Kivu kaskazini Na ITURI Wa Rudi Katika makazi yao kwa shughuli mbali mbali.
Mei 28, 2024
07:00 Jioni
Hali ya wasi wasi yaendelea Ku dhidi Katika Mji mdogo Wa KANYABAYONGA, Wilayani LUBERO KIVU KASKAZINI.hali hio ya zuka baada vita kali Kati ya Jeshi la serekali ya Congo Na kundi la magaidi Wa M23 kwaushirikiano Na Jeshi la Rwanda RDF kando kando mwa Kijiji hicho
Mei 17, 2024
07:00 Jioni
Jamhuri Ya Kidemokrasia Ya Congo Yaadhimisha Leo Injuma Mei,17 Mwaka Wa Elfu Mbili Na Ishirini Na Nne Miaka 27 Tangu Raïs Laurent Kabila Na Majeshi Wake Kumuondoa Madarakani Kwa Nguvu Mobutu Seseseko Wa Zabanga