DRC
Waziri mkuu wa jamhuri ya kidemikrasia ya Congo Judith Suminwa aonya mawaziri kufanya kazi kwa maslahi ya wananchi
Alisema hayo wakati wa kuhitimishwa kwa semina ya uongozi bora kwa mawazir wapya walio teuliwa na Felix Tshisekedi aiku zilizo pita.
Waziri Mkuu Judith Suminwa alifunga Jumanne hii kikao cha siku mbili ambacho kilishirikisha mawaziri wote wa pya katika ukumbi wa Bunge wa Palais de la Nation, Semina ya Serikali iliyofunguliwa Jumapili iliyopita.