Shambulizi hilo la kushitukiza lili tekelezwa majira ya asubuhi juma mosi Ogasti 19 katika Kata la Baungachu Luna mjini Eringeti , ni kilomita 60 kaskazini mwa jiji la Beni .
Bwana lewis Saliboko mtetezi wa haki za binadamu toka shirika la "asadho" , amesema kuna raia 2 walio uawa wa jinsia ya kiume na mwanamke mmoja ku jeruhiwa vibaya .
Familia kadhaa kwa kuhofia usalama wao ziliondoka na kuelekea mjini oicha , unao patikana kilomita 30 kusini mwa mji wa Eringeti wilayani Beni .
Muwakilishi wa liwali mkowani Kivu kaskazini sehemu hiyo , bwana NGUOMOJA SABITI ame dhibitisha tukio hilo , na kuongeza yakuwa wapesi wa Jeshi la Kongo uli zuia madhara zaidi . Na kufanyikiwa kukomboa raia 7 waliokuwa tayari wame bebwa na waasi hao , hali imejaribu kuwa tulivu ila raia wengi wame ondoka mjini . alisema kiongozi wa mji wa Eringeti .